Social Icons

Sikiliza Tone Radio Live Hapa, na Tembelea Website yetu www.toneradiotz.com

bre

Friday, April 19, 2013

ZIARA YA KUUTANGAZA MWONEKANO MPYA WA GAZETI LA MWANANCHI LAFANA MBEYA

Hii ndivyo ilivyokuwa katika uwanja wa sokoine Mbeya katika ziara ya kuutangaza mwonekano mpya wa gazeti la mwananchi 

Hakika gazeti la mwananchi linasomwa na wengi



Mwonekano mpya


Baadhi ya wafanyakazi magazeti ya mwananchi toka DSM baada ya kupigwa na kabaridi ka Mbeya wakinunua makoti kujikinga na baridi



Mkurugenzi mtendaji wa MCL Tido Mhando akicheka kwa furaha kuona vijana wake wameshindwa kuhimili baridi la Mbeya

Joseph Mwaisango wa Mbeya yetu akiwakaribisha Mbeya Mkurugenizi wa MCL Tido Mhando na msambazaji mkuu Theo Makunga  pamoja dada Brand Nelson wa Mbeya

Tido Mhando akicheza kiduku katika uwanja wa sokoine jijini Mbeya


Mkurugenzi mtendaji wa MCL Tido Mhando akiongea na wakazi wa Mbeya katika kutangaza mwonekano mpya wa gazeti la Mwananchi

Theo Makunga 

Mhariri mkuu Bakari Machumu




Bob Ayubu





Msanii Snura

Add caption


picha na Mbeya yetu

No comments: